0
Mwanaume Aliyefanya Ngono na Wanawake 104 Huku Akijua ana Ukimwi ahukumiwa
Mwanaume Aliyefanya Ngono na Wanawake 104 Huku Akijua ana Ukimwi ahukumiwa

MALAWI: Mwanaume Eric Aniva, aliyeshiriki ngono na wanawake tofauti 104 akitekeleza mila huku akijua ameathirika na UKIMWI, a...

Read more »

0
Wabunge waishauri serikali kutosaini mkataba wa EPA
Wabunge waishauri serikali kutosaini mkataba wa EPA

Wabunge wa Tanzania wameishauri serikali kutosaini mkataba wa ushirikiano kiuchumi kati ya umoja wa Ulaya na nchi za Jumuiya ya Afrika masha...

Read more »

0
TANESCO Yatoa Taarifa Kufafanua Kuhusu Bei ya Umeme
TANESCO Yatoa Taarifa Kufafanua Kuhusu Bei ya Umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa iliyotolewa katika vyombo mbalimbali vya habari...

Read more »

0
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Novemba 9
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Novemba 9

Read more »

0
Baada ya ‘Scorpion’, Hii Nyingine Imetokea DSM ya Rambo Mkata Mapanga
Baada ya ‘Scorpion’, Hii Nyingine Imetokea DSM ya Rambo Mkata Mapanga

Wiki chache baada ya kutokea kwa stori za ‘Scorpion’ ambaye alizichukua headlines kutokana na kuhusishwa kwake na matukio ya uporaji...

Read more »

0
Kangi Lugola Adai Mkataba wa EPA Utatuletea USHOGA.....Asisitiza serikali isiusaini ili Kuwalinda Wanaume
Kangi Lugola Adai Mkataba wa EPA Utatuletea USHOGA.....Asisitiza serikali isiusaini ili Kuwalinda Wanaume

Mbunge  wa Mwibara Kangi Lugola, ameupinga  kwa  nguvu  zake zote  mkataba  wa EPA kwa madai kwamba hauna manu...

Read more »

0
TANZIA:Aliyewahi kuwa Waziri wa elimu awamu ya tatu, Joseph Mungai afariki dunia
TANZIA:Aliyewahi kuwa Waziri wa elimu awamu ya tatu, Joseph Mungai afariki dunia

Aliyewahi kuwa waziri wa Elimu Tanzania Joseph Mungai amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu ...

Read more »

0
Waziri Kigwangalla ajibu kwanini serikali ya China isichangie gharama ya matibabu ya waathirika wa ajali za bodaboda
Waziri Kigwangalla ajibu kwanini serikali ya China isichangie gharama ya matibabu ya waathirika wa ajali za bodaboda

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Hamisi Kigwangalla amesema vyombo hivyo vinavyoingia nchini kuna ma...

Read more »

0
Wezi waiba hela na kutoweka na mtambo wa ATM
Wezi waiba hela na kutoweka na mtambo wa ATM

Polisi nchini Kenya katika jiji kuu Nairobi wamemkamata mlinzi wa Benki ya Equity kuhusiana na wizi mwishoni mwa wiki ambapo wezi walitowe...

Read more »

0
Serikali yaainisha namna ya kukifanya kinywaji cha Gongo kuwa salama kwa matumizi
Serikali yaainisha namna ya kukifanya kinywaji cha Gongo kuwa salama kwa matumizi

Serikali yazitaka sekta binafsi kuwekeza katika kuanzisha viwanda vidogo vya kuboresha kinywaji cha kienyeji aina Gongo kwa kuzingatia usa...

Read more »

0
Polisi 152 wafukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu
Polisi 152 wafukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu

Naibu waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Hamad Masauni amesema kuwa serikali imewafukuza askari polisi 152 kwa makosa ya utovu wa nidhamu...

Read more »

0
TB Joshua amtabiria Hillary Clinton kuwa Rais mpya wa Marekani
TB Joshua amtabiria Hillary Clinton kuwa Rais mpya wa Marekani

Mchungaji maarufu duniani kutoka Nigeria, Temitope Balogun Joshua maarufu kwa jina la TB Joshua amemtabiria mgombea wa Urais wa chama cha De...

Read more »

0
Kikwete asema Tanzania itaandikwa kwa wino wa dhahabu kupitia michezo
Kikwete asema Tanzania itaandikwa kwa wino wa dhahabu kupitia michezo

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete, amesema muda si mrefu Tanzania itaandikwa na wino wa dhahabu kwenye sekta ya michezo na...

Read more »

0
Trump aondolewa jukwaani baada ya mtu kupiga kelele za kuwepo bunduki
Trump aondolewa jukwaani baada ya mtu kupiga kelele za kuwepo bunduki

Service walilazimika kumuondoa haraka jukwaani mgombea wa Urais wa Marekani wa chama cha Republican, Donald Trump Jumamosi hii wakati akiong...

Read more »

0
TMA yatahadharisha nchi kukumbwa na ukame
TMA yatahadharisha nchi kukumbwa na ukame

Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) - imeendelea kuwataka Wakulima kufuatilia kwa ukaribu Taarifa za hali ya hewa pamoja na kuzingat...

Read more »

0
Lugora: Mawaziri acheni kumpotosha Rais
Lugora: Mawaziri acheni kumpotosha Rais

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugora (CCM) amewaonya baadhi ya mawaziri kutompotosha Rais John Magufuli kuwa fedha zimepotea, kutokana na b...

Read more »

0
Walimu Watatu Watiwa Mbaroni Kwa Kuwazuia Wanafunzi Kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne
Walimu Watatu Watiwa Mbaroni Kwa Kuwazuia Wanafunzi Kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne

POLISI mkoani Dodoma inawashikilia walimu watatu wa shule za sekondari kwa tuhuma ya kuwazuia wanafunzi wa kidato cha nne, kufanya Mt...

Read more »

0
Kesi ya kwanza yaanza Kusikilizwa Mahakama ya Mafisadi Dar
Kesi ya kwanza yaanza Kusikilizwa Mahakama ya Mafisadi Dar

Hatimaye Mahakama Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu kama Mahakama ya Ufisadi imeanza rasmi usikilizaji wa kes...

Read more »

0
ACT Wazalendo wahofia watoto wa maskini kukosa mikopo
ACT Wazalendo wahofia watoto wa maskini kukosa mikopo

Chama cha ACT Wazalendo kimepinga utaratibu wa sasa wa utoaji mikopo wa elimu ya juu ambao wanasema ukiachwa bila kupingwa utasababisha wa...

Read more »

0
Wanaojichubua wana matatizo ya kisaikolojia – Profesa Mlama
Wanaojichubua wana matatizo ya kisaikolojia – Profesa Mlama

Watu wanaopenda kujibadilisha miili na ngozi zao kwa kutumia vipodozi vyenye kemikali za kujichubua na kubadilisha mwonekano wa sehemu za ...

Read more »
 
 
Top