0



Kauli ya Diva kuwa Jokate ana Gundu Hivyo Ali Kiba Amuache Bado inaendelea kuwatoa mapovu baadhi ya wasanii wa Bongo....
Msanii wa Mduara AT nae amechukizwa na kauli hiyo na kuamua kuchukua jukumu la kumchamba Diva kisawa sawa....Embu jisomee Mwenyewe hapa chini......

AT_original Ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Insta:

"Du hili penzi lenu lina sabuni mbona linatoa watu Mapovu? Kuna Bibi mmoja umepiganae pic Wigi lake kaam Jumba la Kunguru limemsimama km Linashangiria #Goli au ni Mama yetu wa kambo?Au ndio mambo ya Kushoboka Uzeeni? Hana wazo ata moja sijui alikosa bwana ujanani kwa muda huu asubiri mvi tu lisura Pana km #Sinia,Km kweli mshauri Angeliteuliwa na #Rais! Na km anataka wanaume wadogo wadogo aende #leba wamejaa Kushindana na #Jojo ni sawa na kushindana na popo kwa kuona Usiku. Mwambieni kupendwa sio #kujamba km kwa kila mtu inawezekana,Au ana vidudu vyake vipya nini? anavitafutia hifadhi hehehe.!! Amuwaache #Jojo aende kwa #kiba kwani Ufalme wa kupendana ni wao wenyewe,ABaki na Shepu lake la kitunguu #Swaumu!! Yaani bwana wako anakazi ameacha kufuga #Punda anakufuga wewe. #tena wewe ni Kopo tu huna bahati ata uwe jipya vipi hukai kwenye kabati!! #Ewe #Mola huyu Shetani Toleo jipya Duniani ss ni wakazi gani?Tunakuomba kwa dua zote #Mlaani maana hatujui ni #Kuwadi #somo, #kungwi au ni #Mshenga! Maana kavamia shughuli si yake katoa na #Sare ataadhirika mwenyewe mchana kweupeee.!!! Damu imeshakata hata hubleed tena bado unajiona kijana km unajua kupangia watu mtu wa kua nae eka na wako tumuone. hujui kuchagua Nguo za kuvaa utaweza kumchagulia mtu mpenzi?mwaka huu utakunya Mavi makubwa kilo 2 na hufanikiwi Ngo'oo...!! #USILOLIJUA #USILIBEBEE #KIFUA #LITAKUTOA #DAMU #ZA #PUA." Ameandika AT

Post a Comment

 
Top