0
Michuano ya Ligi ya Europa iliendelea usiku wa November 3 kwa michezo kadhaa kupigwa, Manchester United imekubali kichapo cha 2-1 kutoka kwa wenyeji wao Fenerbahçe.
3a0a47dc00000578-0-image-m-33_1478212397333
Athletic Bilbao ya Uhispania ikaichakaza KRC Genk ya Ubelgiji kwa bao 5-3 magoli yote ya Bilbao yakiwekwa kimiani na mshambuliaji Aritz Aduriz.
Matokeo ya michezo mingine
cwxob5fxuaavi9k

Post a Comment

 
Top