Mafiriko ya UKAWA na Mgombea wao Mh E.Lowassa yameendelea leo mjini mbeya
Baadhi ya picha hizi hapa

Baadhi ya picha hizi hapa
![]() |
| Askari wa CHADEMA wakiwa katika doria uwanjani |
![]() |
| Askari Polisi wakiwa wamefunga barabara kuzuia maandamano |
![]() |
| wanafuasi na wanachama wa UKAWA wakiwa katika misafara |
![]() |
| wafuasi wakiendelea na misafara na kukaidia amri ya polisi |
![]() |
| wafuasi wa UKAWA wakiwa kwenye mkutano |

![]() |
| mafuriko yakiwa barabarani |






Post a Comment