0
Mwenyekiti wa CCM Mh. John Pombe Magufuli akihutubia wanachama wa chama hicho leo kwenye ofisi ndogo ya CCM Lumumba amesema, ana taarifa viongozi wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM wamejigawia vyumba vya magorofa ya vitega uchumi wa umoja huo yaliyojengwa karibu na jengo la umoja wa vijana.

Amesema viongozi hao wamekuwa wakikusanya kodi za majengo hayo na kodi hizo kuishia mifukoni mwao.

Kazi ya kutumbua majipu ya chama ndio kwanza inaanza.

Source: ITV.

Post a Comment

 
Top