Akijitetea mbele ya Amani kuhusu picha hizo, Sabby alisema kuwa hakuna cha ajabu yeye kupiga picha za namna hiyo kwa sababu hazina matumizi mengine mabaya zaidi ya kuwa nazo na alifanya hivyo kwa kujifurahisha tu.
“ Sidhani kama picha zina ubaya wowote ni kwa ajili ya matumizi yangu binafsi na si ya mtu mwingine yeyote ile, nimepiga kwa mapenzi yangu mwenyewe,” alisema Sabby.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.