0

Aliyekuwa Mshambuliaji wa Simba Emanuel Okwi ambaye sasa atakipiga katika kwablu ya Sonderjysk ya Denmark
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi amelamba donge nono la miaka mitano kuichezea Sonderjysk  FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Denmark.
Okwi sasa atakuwa analipwa dola za Kimarekani 10,000 kwa mwezi, akipatiwa nyumba, usafiri na huduma nyingine zote muhimu Denmark.
Tovuti ya klabu hiyo imethibitisha habari hizi

Post a Comment

 
Top