0




Habari ndio hii…kama ulikuwa hujasikia, Phantom 6 inakuja na kamera mbili za ukweli na wengi bado hawajafahamu jinsi ya kuzitumia. 

Fuatilia video hii kujua jinsi ya kutumia na kama una Phantom 6 unaweza kujaribu kisha weka mtandaoni ukitumia hashtag #UnleashThePhantom na kama hujanunua Phantom 6 tembelea maduka ya Tecno. Usikubali kupitwa.
 
Unaweza kutembelea kurasa za mitandao ya kijamii ya Tecno kufahamu zaidi kuhusiana na Tecno Phantom 6 na Phantom 6 Plus.
 

Post a Comment

 
Top