Menu
  • About
  • Contact
  • More
    • Menu 1
    • Menu 2
    • Menu 3
    • Menu 4
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest

bongo

Breaking News

bongo. Powered by Blogger.
Menu
  • Home
  • HABARI
  • UDAKU
  • BIASHARA
  • MAPENZI
  • SIMULIZI
  • UREMBO
  • MICHEZO
  • BETTING
Home KITAIFA

Gari la CRDB laopolewa, mfanyakazi hajapatikana

0 KITAIFA 4:55 AM
A+ A-
Print Email

 Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.
Kilombero. Gari la Benki ya CRDB limeopolewa katika Mto Kilombero likiwa na Sh3.5 milioni, huku mfanyakazi wake akiwa hajapatikana.

Gari hilo liliopolewa jana saa nane mchana baada ya kulitafuta kwa siku tano tangu lilipozama Mto Kilombero Januari 27 likiwa katika kivuko cha MV Kilombero II.

Mfanyakazi wa CRDB tawi la Ifakara, Dustan Rwegasira (31) ni miongoni mwa abiria waliokuwamo ndani ya kivuko hicho.

Hata hivyo, jitihada mbalimbali za kukiibua kivuko hicho bado zinaendelea baada ya juzi kutumia mbinu ya kutumbukiza mapipa yaliyojazwa maji kisha kuzamishwa chini ili kukitoa kukwama.

Kazi hiyo inafanywa na timu ya wazamiaji wa Kampuni za M.Divers Limited na May-Marine Go Limited.

Mkuu wa Kikosi cha Uzamiaji na Uokoaji wa Kampuni ya M. Divers Limited, Hafidh Seif alisema: “Hesabu zetu zinakwenda vizuri, yale matangi unayoyaona yanazamishwa baada ya kujazwa maji halafu, yakiwa chini yatageuka maboya kisha yatapanda juu na kivuko hicho na kuvutwa na wenye magari,” alisema Seif.

Seif alisema wanakabiliana na changamoto ya kasi ya maji, lakini wanamshukuru Mungu kazi ya kuondoa maji ndani ya vyumba vya maboya ya kivuko imemalizika salama. 


Share to:
Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

aprieztmkrdezign
218168578325095

Subscribe to: Post Comments (Atom)
  • Populars
  • Comments
  • Archive

facebook

walumitz.com

twitter

Tweets by walumitz

youtube

Popular Posts

  • picha za burudani ya CCM jangwani..wema, diamond, ndani ya jukwaa jionee
    na millardayo
  • NSSF Yaburuzwa Mahakamani
    SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limeburuzwa mahakamani na wakazi 87 waliokopeshwa nyumba za mradi wa shirika zilizoko Kijichi...
  • Rais Magufuli aongoza mamia ya Watanzania kuaga mwili wa Samuel Sitta .....Atuma rambirambi kifo cha Mbunge Hafidh Ali Tahir
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 11 Novemba, 2016 amewaongoza viongozi na wananchi wa M...
  • Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mh Ally Hapi Amtumbua JIPU Kaimu Mganga Mkuu Mfawidhi hospitali ya Mwananyamala
    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mh Ally Hapi leo ametengua uteuzi wa aliyekuwa Kaimu Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Mwananyamala Dkt. D...
  • MULLER 'NOT FOR SALE'
    Thomas Muller  ukiachilia mbali tetesi za kwamba klabu ya Manchester United kuvutiwa na mchezaji huyu na kutenga dau la £70m kwa ajili ya ku...
  • Mbunge wa Budalang’i nchini Kenya Asimulia Jinsi Rais Magufuli alivyoiteka Kenya
    Mbunge wa Budalang’i nchini Kenya, Ababu Namwamba amesema Rais John Magufuli anavuma kwa umashuhuri nchini humo akitajwa kwa namna anavyopam...
  • NECTA Kupigilia Panga la Mwisho Kwa Wenye Vyeti FEKI Kuanzia Kesho.....Watumishi Wote Kufuatwa Vituoni Kukaguliwa
    Hatua ya Baraza la Mitihani nchini (Necta) kutoa ratiba ya kufanya uhakiki wa vyeti vya kidato cha nne, sita na ualimu kwa watumishi wote wa...
  • Rais Magufuli Ampatia Bajaji Mlemavu Thomas Kone Anayejituma
    Kaimu Mnyikulu ambaye pia ni Naibu Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akimkabidhi funguo na nyaraka Bw. Thomas Kone (35) kwa ajili ya Bajaji ...
  • Duh! Shilole na Mziwanda Wametudanganya Kumbe ni Kiki tu
    BAADA mikasa na vituko kibao vya kidume kuchezea kichapo na kuvumilia kitambo huku thamani ya uume ikidhalilishwa front, kijana Nuhu Mziwan...
  • Wema Sepetu Amshukia Kajala Masaja..Adai ni Mtu Mzima For Nothing na Hana Akili..Awaponda Washauri wake Pia
    ... Wema Sepetu Akizungumza katika kipindi cha Take one cha Clouds TV Amesema Anamchukulia Kajala kama mtu Ambae Hawajawahi kuonana na wala ...
 
bongo © 2013. All Rights Reserved.
Powered by Blogger
Top