0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imesogeza mbele uandikishaji kwa BVR jijini Dar es salaam zoezi  lilikuwa lianze  tarehe 16/07/2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa  Tume Jaji Damiani Lubuva imebainisha kuwa  zoezi hilo limepelekwa mbele ili kutoa fulsa kwa wananchi kusherekea sikukuu ya Eid-El-Fitr ambayo ingefanyika wakati wa zoezi la uboreshaji wa daftari hilo.
Zoezi hilo sasa litaanza tarehe 22/07/2015 na kumalizika tarehe 3/08/2015.

Post a Comment

 
Top