0
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo ameshinda tuzo ya Alfredo di Stefano ya mchezaji bora wa La Liga msimu uliopita iliyotolewa na gazeti la Marca jana muda mfupi baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano na Real Madrid.
3a28b30700000578-0-image-m-25_1478562422718
Cristiano Ronaldo akiwa amebeba tuzo ya Alfredo di Stefano
3a293a3200000578-0-image-m-31_1478562682679
3a293ed800000578-0-image-m-41_1478563488968
Mchezaji mwingine wa Real Madrid Alvaro Morata nae ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Hispania wakati kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone ameshinda tuzo ya Miguel Munoz ya kocha bora wa mwaka.
3a27f9ea00000578-0-image-a-44_1478563602021

Post a Comment

 
Top