0
Awamu ya kwanza ya kutaja majina ya wasanii watakaowania tuzo za EATV kwa mwaka huu wa kwanza yametajwa Jumanne hii.

Kwa kuanzia yametajwa majina ya wasanii kutoka katika vipengele viwili kati ya kumi vilivyopo kwenye tuzo hizo huku zoezi hilo likitarajiwa kufanyika kwa siku nne ambapo litakamilika Ijumaa hii ya Novemba 11.

Hii ni orodha ya wasanii waliotajwa kwenye vipengele hivyo.

Mwanamuziki bora chipukizi

Man Fongo
Feza Kessy
Ruky Baby
Mayunga
Bright

Muigizaji bora wa kiume

Saidi Ali – Ndugu wa mume
Meya Shabani – Profile
Daudi Tairo (Duma) –
Salim Ahmed (Gabo) – Safari ya Gwalu
Dotto Matotora – Likwacha Lala

Post a Comment

 
Top